Bomet: Kizungumkuti baada ya corona kukwamisha harusi

Kijogoo kutoka Sotik, jimbo la Bomet aliingiwa na kikewe baada ya harusi yake kuahirishwa kwa sababu ya corona ilhali alikuwa amemtia mimba demu wake. Penyenye zinaarifu kwamba jamaa na demu wake ni viongozi wa vijana kanisani mwao na walipoona harusi yao imetimia, waliamua kulishana mahaba wakiamini walikuwa na muda mfupi kabla kutangazwa mume na mke.

Kijogoo kutoka Sotik, jimbo la Bomet aliingiwa na kikewe baada ya harusi yake kuahirishwa kwa sababu ya corona ilhali alikuwa amemtia mimba demu wake.

Penyenye zinaarifu kwamba jamaa na demu wake ni viongozi wa vijana kanisani mwao na walipoona harusi yao imetimia, waliamua kulishana mahaba wakiamini walikuwa na muda mfupi kabla kutangazwa mume na mke.

Habari Nyingine: Wakili 'Grand Mullah' apuuzilia mbali mchakato wa Kagwe katika kupamana na Covid-19

Hata hivyo, mambo yalibadilika na kwenda mrama wakati mikutano ya aina yoyote ilipositishwa na siku ya kufunga ndoa ikasongezwa mbele.

"Ni aibu kwangu kwa kuwa mimba ya mrembo inazidi kuwa kubwa. Kila mtu atajua nilimtafuna kabla ya harusi," jamaa alilia mbele ya wandani wake na akaambiwa kuteleza ni kawaida.

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia news@tuko.co.ke au WhatsaApp: 0732482690.

Subscribe to watch new videos

Chanzo: TUKO.co.ke

ncG1vNJzZmijmajEorTIpaBnrKWgvG%2Bvzmeinmdjan9zgJBmmaillal6rLXZrqWgrZ2gwrW1jJuYmpyRYsaiecKoqaimkWK4trfWmqSiq5iWeqmt0a6qomaYqbqt

 Share!